Picha juu na chini ni Gari la kituo cha Afya Ilembo Mbeya Vijijini lakutwa likipakia abiria kama lilivyokutwa na mdau wetu.Hii ni hatari gari la serikali mkuu wa kitiuo cha afya na dereva wanashirikiana. Mbalizi hadi Ilembo nauli ni Tshs. 4000. Mamlaka usika mpo wapi? Na Mdau Andrew Chale.
GARI LA KITUO CHA AFYA YAGEUZWA DALA DALA–MBEYA
Title: GARI LA KITUO CHA AFYA YAGEUZWA DALA DALA–MBEYA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Picha juu na chini ni Gari la kituo cha Afya Ilembo Mbeya Vijijini lakutwa likipakia abiria kama lilivyokutwa na mdau wetu. Hii ni hatari ga...
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.