ANGALIA PICHA ZA SIMBA SC WALIPO TEMBELIA KABURI LA BABA WA TAIFA MWL. JULIUS KAMBARAGE NYERERE, BUTIAMA

clip_image001Wachezaji wa Simba SC wakiwa na sanamau la Baba wa Taifa, marehemu Mwalimu Julius Nyerere juzi walipotembelea nyumba ya kumbukumbu ya Rais huyo wa kwanza wa Tanzania Tarime mkoani Mara. Simba ilikuwa mkoani huko kwa ziara ya mchezo mmoja wa kirafiki ambao walicheza na Polisi Mara na kutoka sare ya 1-1 jana.Kaburini kwa baba wa TaifaZahor PaziKulia Zahor Pazi na kushoto Jonas Mkude wakiwa na Mama Maria Nyerere, mjane wa Mwalimu NyerereNyota wa MsimbaziKwa raha zao

PICHA NA HABARI KWA HISANI YA BINZUBEIRY

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post