SHINDANO LA KUSINI STAR SEARCH LAANZA USIKU WA JANA NR RESORTS

clip_image003

Nyota wa Kusini akisakwa kwa udi na uvumba washiriki katika mpambano huo

Na Abdulaziz Video

Shindano la kumsaka Mwenye kipaji kwa wasanii wasiosikika kanda ya Kusini limefanyika Usiku wa kuamkia leo katika Ukumbi wa NR Resorts, Nachingwea. Jumla ya washiriki 26 toka  Lindi,Masasi,Mtwara,Ruangwa,Liwale na Nachingwea.

Shindano hilo ambalo limeandaliwa na Ernest Nyambina wa Nr Resorts linaendeshwa chini ya Msema Chochote Fadhili Liwaka(MC Liwaka) ambae pia ni Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM.

Wasanii wakionesha vipajiMsanii akiwa katika miondoko ya kusiniMeza kuu ikifuatilia mpambano huoMashabiki kibaoNyota wa Kusini akisakwa kwa udi na uvumba na chini ni washindani katika mpambano huo

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post