Unknown Unknown Author
Title: HUYU NDIE MSHINDI WA REDD’S MISS LINDI 2013 JANETH AWET
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Janeth Awet ndie aliye ibuka mshindi katika Kinyang’anyiro cha kumtafuta Redd’s Miss Lindi, na Kufuatiwa na Sophia Maganga aliechukua nafasi...

clip_image003Janeth Awet ndie aliye ibuka mshindi katika Kinyang’anyiro cha kumtafuta Redd’s Miss Lindi, na Kufuatiwa na Sophia Maganga aliechukua nafasi ya Pili huku nafasi ya Tatu ikienda kwa Zainabu Shabani, mshindi wa Nne ilienda kwa Angel Kussanga na tano ni Pendo Chodas.clip_image003[12]Katika upande wa Taji la Vipaji lilienda kwa mshiri Leila Abdu (aliesimama nyuma) na Taji la Miss Personality Lilienda kwa Pendo Chodas.clip_image003[14]Msanii wa bongo fleva Dullayo akiwa katika staji akitoa burudani wakati wa shindano la kumsaka Redd’d Miss Lindi Usiku wa tarehe 31/05/2013

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top