SAMAKI WA AJABU AVULIWA UNGUJA.....!! MCHEKI HAPA

clip_image001

NI AJABU NA INASTAJABISHA:
Mchangamle kizimkazi,walikusanyika na kumshangaa samaki
huyu wa ajabu ambae wavuvi na wakazi
wa maeneo hayo hawakuwahi kumwona, maana samaki huyu
aelewiki ni CHUI,DUMA au ni nini....
Nikaona nisistajabike mwenyewe nikuweke hapa wewe msomaji wetu wa Fahari ya Kusini nawe upate kujua
yanayoendelea Duniani.....kwangu mimi ni ajabu sijawahi
kuona kiumbe kama hicho.....

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post