NEYMAR APATA MAPOKEZI MAKUBWA BARCA LEO

clip_image001[6]Nje ya ofisi za Barcelona 

KLABU ya Barcelona imemtambulisha rasmi mshambuliaji wake mpya, Mbrazil Neymar baada ya kutua katika klabu hityo leo. 

Mbrazil huyo anaungana na wakali kama Lionel Messi, Xavi, Andres Iniesta na Daniel Alves Barcelona akiwa anapewa nafasi ya kufuata nyayo za Wabrazil wengine waliotikisa Ulaya.

RATIBA YA NEYMAE BARCA...

1pm Kupigwa picha kabla ya kufanyiwa vipimo vya afya
4pm Milango ya Camp Nou inafunguliwa ili wapenzi na mashabiki kuingia
4.45pm Anasaini Mkataba katika ofisi za klabu
5.45pm Kupiga picha FCB
6.15pm Milango inafunguliwa kwa ajili ya sherehe ya kumtambulisha Neymar kama mchezaji mpya wa FC Barcelona Camp Nou.
7.30pm Mkutano na Waandishi wa Habari

clip_image001Wapiga picha wakimtwanga za kutosha nyota mpya wa BarcelonaStardom: Neymar next to the Barcelona club crest outside the Nou Camp

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post