RASMI: MOURINHO AANGUKA MIAKA MINNE CHELSEA

clip_image001Amerudi England: Jose Mourinho amerejea London tayari kuanza kazi Chelseaclip_image001[6]Mourinho alipigwa picha akiwasili Uwanja wa Ndege wa Heathrow janaclip_image001[8]KOCHA Jose Mourinho leo amekutana na viongozi wa Chelsea kukamilisha mpango wa kurejea kwake Stamford Bridge.

Taarifa rasmi inatarajiwa kutolewa baadaye leo kuthibitisha kusaini kwake Mkataba wa miaka minne hii ikiwa ni mara ya pili kwa Mourinho kufanya kazi klabu hiyo ya London, kiasi cha saa kadhaa tu tangu aache kazi Real Madrid.

Mwalimu huyo mwenye umri wa miaka 50 tayari imethibitika ataanza kazi Chelsea wiki hii.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post