Unknown Unknown Author
Title: RASMI: MOURINHO AANGUKA MIAKA MINNE CHELSEA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Amerudi England: Jose Mourinho amerejea London tayari kuanza kazi Chelsea Mourinho alipigwa picha akiwasili Uwanja wa Ndege wa Heathrow jana...

clip_image001Amerudi England: Jose Mourinho amerejea London tayari kuanza kazi Chelseaclip_image001[6]Mourinho alipigwa picha akiwasili Uwanja wa Ndege wa Heathrow janaclip_image001[8]KOCHA Jose Mourinho leo amekutana na viongozi wa Chelsea kukamilisha mpango wa kurejea kwake Stamford Bridge.

Taarifa rasmi inatarajiwa kutolewa baadaye leo kuthibitisha kusaini kwake Mkataba wa miaka minne hii ikiwa ni mara ya pili kwa Mourinho kufanya kazi klabu hiyo ya London, kiasi cha saa kadhaa tu tangu aache kazi Real Madrid.

Mwalimu huyo mwenye umri wa miaka 50 tayari imethibitika ataanza kazi Chelsea wiki hii.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top