KING KIBADENI AENDELEA 'KUIUMBA UMBA' SIMBA SC TARATIIIIBU KINESI

clip_image001Mshambuliaji wa Simba SC, Edward Christopher akifanya mazoezi asubuhi ya leo kwenye Uwanja wa Kinesi, Urafiki Dar es Salaam.Edo akikokota mpira mazoeziniMtoto kwa baba hakui; Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdallah Athumani Seif 'King Kibadeni' akimuelekeza jambo Msaidizi wake, Jamhuri Kihwelo mazoezini asubuhi ya leo. Kibadeni amewahi kumfundisha Jamhuri Kihwelo Simba SC.Kiungo Rashid Ismail akikokota mpiraAdeyoum Saleh Ahmed akikokota mpiraRamadhani Singano 'Messi'Hassan Hatibu akikokota mpiraMjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba SC, Sweddy Nkwabi akimkaribisha mazoezini Daktari mpya wa timu hiyo,  Yassin Gembe aliyekuwa akifanya kazi Mtibwa Sugar ya Morogoro ambaye anachukua nafasi ya Cossmas Kapinga aliyejiuzulu. Kushoto ni Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala.

Habari kwa hisani ya BINZUBER BLOG

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post