KUTOKA USWAHILINI ADI UGHAIBUNI

Sensei Rumadha na mkewe Anita pamoja na mdogo wake Rumadha,Kibwana Fundi katika shangweSensei Rumadha Fundi ,kachukua Degree "Associate in Applied Science Cardiopulmonary Respiratory Care"

Sensei Rumadha Fundi ajiongezea taaluma kutoa Usensei wa Karate na Mwalimu wa Yoda na sasa mtaalamu wa tiba za binadamu upande wa mapafu !

Si mwingine bali yule mtanzania mtaalamu wa michezo ya Karate na Yoga. Sensei Rumadha Fundi (3rd Dan,Black Belt ) mwenye maskani yake kule marekani . juzi 17 Mai 2013 Sensei Rumadha Fundi akishangiliwa na kupongezwa na ndugu na marafiki waliomshuhudia akipokea Degree "Associate in Applied Science Cardiopulmonary Respiratory Care" "Collin College, McKinney, Texas, USA.Sensei Rumadha akiwa na ndugu na marafikiSensei Rumadha Fundi anaongezea C.V yake kwa kula nondo ya utaalamu wa tiba za mapafu na moyo,Sensei Rumadha sasa amekuwa mtaalam

Respiratory Therapist: Mtaalam wa hewa na gas ya kupumua anaye tibu mapafu na moyo chini ya maelekezo ya mganga wa mapafu"pulmonalogist. Pia, Respiratory therapist anamajukumu mengi kama kuwatibu wagonjwa wa pumu,COPD,Ephysema,Asthma,TB na majonjwa yote yanayohusu mapafu na moyo.
Pia,anauwezo wa kutafsiri damu baada ya kupima hali yamgonjwa kama ana oxygen ya gas inahitaji tiba yeyote.
Sensei Rumadha Fundi (mstari wa nyuma) akiwa na wataalamu wenzie wa mapafuKwa mengi zaidi kuhusiana na utaalam wa Respiratory Therapist fuata Link ile ipo mwisho wa "Who is Respiratory Therapist? http://en.wikipedia.org/wiki/Respiratory_therapy

Kumjua zaidi Sensei Rumadha Fundi bofya at http://dartalk.com/2013/04/22/sensei-rumadha-fundi-romi-mtaalam-wa-ngazi-za-juu-wa-karate-na-yoga%E2%80%A6/

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post