KIZAA ZAA MAKABURINI HII LEO, NACHINGWEA-LINDI

417865_522696874459844_342680251_nHili hili limetokea Mkoani Lindi katika Wilaya ya Nachingwea kijiji cha Marambo, Katika mazishi ya zamzam kimetokea kituko baada ya baba mzazi wa marehemu kutembezewa kichapo mkabulini baada ya kuonekena mtata muda wote kwanza kuwapangia watu masharti wakati ÿeye ni mfiwa, pili makabulini kachagua ÿeye watu wa kuzika.clip_image003

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post