Taarifa kutoka ofisi za DSTV jijini Dar es Salaam zinadai kuwa aliyekuwa Miss Tanzania mwaka 2006 na muigizaji wa filamu Wema Sepetu alikuwa katika ofisi hizo kuchukua fomu za kushiriki shindano la Big Brother Africa mwaka huu.Wema ni miongoni mwa mastaa nchini wanaopendekezwa zaidi kuiwakilisha Tanzania mwaka huu. Mwingine anayependekezwa zaidi ni Khaleed Mohamed aka TID.
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KWA
VIPURI NA MATENGENEZO YA GARI LAKO USIHANGAIKE. KAHAWA AUTO SERVICE
WAKO KWA AJILI YAKO. NO. 0715331019/0785105561. LINDI TANZANIA
Tags
HABARI ZA WASANII