Kikosi cha Simba
Kikosi cha JKT Oljoro
Mshambuliaji wa Simba, Felix Sunzu akitafuta mbinu za kuwatoka mabeki wa timu ya JKT Oljoro katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Simba imeshinda 4-1
Emmanuel Okwi akitafuta mbinu za kumtoka beki wa JKT Oljoro, Yusuf Nachogote katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Simba imeshinda 4-1
Kipa wa JKT Oljoro, Shaibu Issa akiangalia mpira uliopingwa na Amri Kihemba ukiingia wavuni