Waziri wa Kazi na Ajira, Makongoro Mahanga (kulia) akimkabidhi Ngao ya Jamii, Nahodha wa Simba, Juma Kaseja. Pembeni yake ni beki Nassor Masoud 'Chollo' na kulia kabisa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Athumani Nyamlani.Mashabiki wa timu ya Simba wakifuatilia mchezo kati ya timu hiyo na Azam FC, uliochezwa Uwanja wa Taifa kuwania Ngao ya Hisani, Dar es Salaam jioni hii.Ramadhan Chambo 'Redondo' wa Simba (kulia), akiwania mpira na Abdulhalim Humud wa Azam FC.
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.