Baada ya Orijino Komedi kumshutumu rapper Fareed Kubanda aka Fid Q kuwa
amecopy na kupaste beat ya wimbo wake Danger, rapper huyo hajaridhika na
hatua zilizochukuliwa mpaka sasa kiasi cha kufikiria kutafuta
mwanasheria ili
awaburuze kortini waigizaji hao.
“Looking for a good lawyer dealing with defamation of character cases.. Contact us for details,” Fid alitweet jana.
Baada ya kuona tweet hiyo, Mchakato wa kumpata fid ulifanyika na alipigiwa simu rapper huyo kutaka
kujua kama kweli amedhamiria kulipeleka suala hilo kwenye sheria na yeye
kusema kuna watu walimshauri afanye hivyo lakini ameamua kupuuzia.
Home
»
»Unlabelled
» Fid Q afikiria kuwapeleka kortini Orijino Komedi kwa kumchafua
About Author
JE, UNA HABARI, PICHA, TANGAZO, MAKALA NA USHAURI? USISITE KUWASILIANA NASI SIMU / WHATSAPP NAMBA 0625535420.