Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Lindi Bw Hijob Shenkalwah akionyesha kwa Furaha Ngao ya MSHINDI WA KWANZA Katika kutekeleza sheria ya Manunuzi ya Umma mwaka 2010/2011 iliyotolewa Baada ya Halmashauri hiyo kutangazwa na Kukabidhiwa na Waziri Mkuu katika Sherehe za kitaifa za siku ya Serikali za Mitaa
Ngao ya MSHINDI WA KWANZA Katika kutekeleza sheria ya Manunuzi ya Umma mwaka 2010/2011 iliyotolewa Baada ya Halmashauri hiyo kutangazwa na Kukabidhiwa na Waziri Mkuu
Tags
Lindi