Jana usiku mkali akitoka katika mishe mishe zake, Diamond alipaki gari nje ya nyumba yake, asubuhi kuamka akakuta wenye mali zao washaondoka na power windo zote, radio, system ya AC, pamoja na begi lililokuwa na nguo kibao, cheni za gold pamoja na saa kibao kibao tu ambazo alikua akizitumia katika shooting ya video ya mawazo.
Tags
HABARI ZA WASANII