HATIMAE ZARI ZE BOSSLADY AJIFUNGUA MTOTO WA KIUME, TAZAMA PICHA HAPA

Hayawi hayawi na sasa yamekuwa. Hatimaye Zari The Bosslady na Diamond wamefanikiwa kumpata prince wa familia aliyekuwa akisubiriwa kwa hamu kubwa. Mtoto huyo amezaliwa saa 10 na 35 Alfajiri kwa saa za Afrika Mashariki, Jumanne, December 6.
Zari ajifungua
Mtoto huyo amezaliwa kwenye hospitali ya NETCARE ya Pretoria nchini Afrika Kusini. Tayari Diamond na Zari wameonesha picha za mtoto huyo japo hawajaweka sura yake na bado hawajasema wamemwita jina gani.
Zari ajifungua
“ thanking everyone for your prayers, we are all doing fabulously ok,” ameandika Zari.

Naye Diamond ameandika:
Zari ajifungua
Tunawapongeza Diamond na Zari kwa kujaaliwa kupata mtoto wa kiume.
Zari ajifungua
Chanzo: Bongo 5

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post