MWISHO AOA NAMIBIA

image Hatimaye wale Mastaa wa BBA wafunga ndoa ni kati ya Mtanzania Mwisho Mwampamba na Merly wa Namibia, Mpango mzima huo umetekelezwa nchini Namibia.

Mungu awape maisha ya Uvumilivu wa Ndoa ili muishi pamoja hadi Mungu atakavyo wapenda.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post