Sirte yawakanganya wapiganaji

Wapiganaji wa serikali ya mpito ya Libya wanajaribu kutafuta mkakati mpya wa kuweza kuwatimua wanajeshi watiifu kwa Kanali Gaddafi katika eneo lao, mjini Sirte.

Wapiganaji Sirte

Mwandishi wa BBC anasema wapiganaji wa serikali wamepoteza dira na shime, baada ya mapigano ya siku kadha.

Mwandishi wetu anasema hali ni ya mtafaruku na ghasia.

Yeye na wenzake wamelengwa kwa risasi na wanajeshi wa Gaddafi wenye shabaha kali, mjini Sirte.

Kijana mmoja wa Libya aliyekuwa pamoja nao aliuwawa

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post