NIJUZE NIJUZE Author
Title: Sirte yawakanganya wapiganaji
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Wapiganaji wa serikali ya mpito ya Libya wanajaribu kutafuta mkakati mpya wa kuweza kuwatimua wanajeshi watiifu kwa Kanali Gaddafi katika en...

Wapiganaji wa serikali ya mpito ya Libya wanajaribu kutafuta mkakati mpya wa kuweza kuwatimua wanajeshi watiifu kwa Kanali Gaddafi katika eneo lao, mjini Sirte.

Wapiganaji Sirte

Mwandishi wa BBC anasema wapiganaji wa serikali wamepoteza dira na shime, baada ya mapigano ya siku kadha.

Mwandishi wetu anasema hali ni ya mtafaruku na ghasia.

Yeye na wenzake wamelengwa kwa risasi na wanajeshi wa Gaddafi wenye shabaha kali, mjini Sirte.

Kijana mmoja wa Libya aliyekuwa pamoja nao aliuwawa

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top