NIJUZE NIJUZE Author
Title: Yanga 'mwaka wa shetani'
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
BAO lililofungwa dakika ya 20 na mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco 'Adebayor', limerudisha majonzi kwa mabingwa wa soka Tanzania ...

image

BAO lililofungwa dakika ya 20 na mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco 'Adebayor', limerudisha majonzi kwa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga baada ya kulala kwa bao 1-0 katika mfululizo wa mechi za ligi hiyo.

Yanga ilianza tambo, baada ya kuinyuka African Lyon bao 2-1 ukiwa ndiyo ushindi wake wa kwanza katika michezo minne ya ligi hiyo, lakini jana imejikuta ikiwatoa mashabiki wake uwanjani vichwa chini baada ya kukubali kipigo hicho.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top