NIJUZE NIJUZE Author
Title: Fainali Za Kusaka Vipaji-AITEL RISING STARS Imeanza kutimua vumbi Jana
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akizungumza muda mfupi kabla ya kuzindua rasmi michuano hiyo Naibu Waziri TAMISEMI, Kassim Maj...

image

Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akizungumza muda mfupi kabla ya kuzindua rasmi michuano hiyo

image

Naibu Waziri TAMISEMI, Kassim Majaliwa akipiga mpira kuzindua rasmi fainali za michuano hiyo

image

Mwamuzi akimpatia kadi ya njano mmoja wa wachezaji wa timu ya kombaini ya vijana ya Mwanza baada ya kumfanyia rafu mchezaji wa timu ya Morogoro, katika michuano ya kuinua vipaji vya soka kwa vijana ya Airtel Rising Stars kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top