NIJUZE NIJUZE Author
Title: JK AKAGUA CHANZO CHA MAJI–LINDI
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Rais Jakaya Kikwete, akikagua kianzo cha maji kilichopo Kitunda, Kata ya Msinjahili,katika Manispaa ya Lindi. Jana alipokuwa katika ziara n...

image

Rais Jakaya Kikwete, akikagua kianzo cha maji kilichopo Kitunda, Kata ya Msinjahili,katika Manispaa ya Lindi. Jana alipokuwa katika ziara ndani ya mkoa huo.

Mkoa wa Lindi kwa sasa uko katika tabu kubwa ya kupata maji safi na salama kwani maji hayo husambazwa na wizara ya maji LUWASA ambayo kwa sasa wanatoa maji mara moja baada ya wiki mbili na ni kwa masaa ya usiku.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top