Arsenal imemsajili winga wa Southampton Alex Oxlade-Chamberlain kwa ada inayoaminika ni paundi milioni 15.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 17 amesaini mkataba wa muda mrefu, wa kitita cha paundi milioni 12 na paundi milioni 3 nyingine zitalipwa baadae.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.