NIJUZE NIJUZE Author
Title: RAIS WA SOMALIA ALAKIWA NA RAIS JK.
Author: NIJUZE
Rating 5 of 5 Des:
Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake Rais Sheikh Sharif Ahmed wa Jamhuri ya Somalia wakipita katikati ya gwaride la mapokezi ya mgeni huyo mar...

image

Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake Rais Sheikh Sharif Ahmed wa Jamhuri ya Somalia wakipita katikati ya gwaride la mapokezi ya mgeni huyo mara baada ya kuwasiri kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere leo.

image

JK akimlaki mgeni wake Rais wa Somalia Viwanjani hapo.

image

Kikundi cha JKT kikitumbuiza kwa ngoma ya kiaso ya Pemba wakati wa kumlaki mgeni huyo.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top