RAIS WA SOMALIA ALAKIWA NA RAIS JK.

image

Rais Jakaya Kikwete na mgeni wake Rais Sheikh Sharif Ahmed wa Jamhuri ya Somalia wakipita katikati ya gwaride la mapokezi ya mgeni huyo mara baada ya kuwasiri kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere leo.

image

JK akimlaki mgeni wake Rais wa Somalia Viwanjani hapo.

image

Kikundi cha JKT kikitumbuiza kwa ngoma ya kiaso ya Pemba wakati wa kumlaki mgeni huyo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post