Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa
na viongozi mbalimbali kwenye Iftar aliyowaandalia viongozi wa dini na
wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es
Salaam tarehe 05 Machi, 2025.
Tags
HABARI ZA KITAIFA