ASKARI WANAOTUHUMIWA KUTUMIA NA KUUZA MADAWA YA KULEVYA WASIMAMISHWA KAZI

IGP Ernest Mangu
Baada ya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kutaja orodha ya baadhi ya wanaotuhumiwa kutumia na kuuza dawa za kulevya, Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Ernest Mangu leo February 4 amezungumza kuhusu askari wanatuhumiwa kujihusisha na uhalifu huo.

Amesema hatua kadhaa zimeshachukuliwa ikiwemo kuwasimamisha kazi Askari hao na wanaendelea na uchuguzi kwa watuhumiwa wengine wakiwemo watu maarufu waliotajwa ili kuthibitisha tuhuma zinazowakabili.

Barua

Majina

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post