Unknown Unknown Author
Title: SABABU ZA KUKAMATWA KWA WAZIRI MKUU MSTAAFU BADO HAZIJAWEKWA WAZI
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa mgombea urais kwa tikiti ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa na mbunge wa Geita (M) Viti maalum Upendo Peneza...
Mh. Edward Lowassa
Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa mgombea urais kwa tikiti ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa na mbunge wa Geita (M) Viti maalum Upendo Peneza wamekamatwa na jeshi la Polisi Geita mjini.
Sababu za kukamatwa kwa Mh Lowassa na Mjumbe wa Kamati kuu ya CHADEMA bado hazijawekwa bayana. 
Lowassa alikuwa anaenda kwenye kampeni za uchaguzi Kata ya Nkome.

Endelea kuwa nasi kupata taarifa zaidi kuhusu tukio hilo pindi zitakapopatikana.
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM

Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top