MBUYU TWITE ATUA RASMI KWENYE KLABU HII NCHINI OMAN

Mbuyu Twite
Baada ya kumaliza mkataba wake na klabu ya Yanga mchezaji Mbuyu Twite ambaye anaweza kucheza kama kiungo amejiunga na timu ya Fanja ya Oman.

Twite ameshaanza mazoezi na timu yake hiyo ya mjini Muscat Oman, Twite aliitumikia klabu ya Yanga kwa miaka minne, mchezaji mwingine ambaye ni Mtanzania anayeichezea Fanja ni mshambuliaji Danny Lyanga wa Simba ambaye yuko kwa mkopo katika timu hiyo.


++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post