Unknown Unknown Author
Title: HARMONIZE PHOTOCOPY AIBUKA, CHEKI VIDEO HII HAPA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kijana anayedai kufanana kimuonekano na msanii wa Bongo fleva Harmonize kutoka WCB , ameibuka na kushusha lawama akidai kuwa msanii huyo...
Kijana anayedai kufanana kimuonekano na msanii wa Bongo fleva Harmonize kutoka WCB, ameibuka na kushusha lawama akidai kuwa msanii huyo alimnyanyapaa pale alipotaka kuzungumza naye na kujitambulisha kwake.
Harmo Rapa na Harmonize
Harmo Rapa na Harmonize
Kijana huyo ambaye anajulikana kwa jina la Harmo Rapa, amejitambulisha mbele ya kamera ya eNewz ya EATV kuwa Rapa na ana ndoto za kufanya makubwa katika muziki lakini anahitaji mtu wa kumshika mkono mkono.

Harmo Rapa amesema anaamini anafanana na Harmonize na kwamba amekuwa akifananishwa sana na msanii huyo.

Msikilize mwenye hapa akifunguka kupitia eNewz


++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top