
Kwa mujibu wa Us Weekly Kim K ametajwa kuwa yeye ndio anataka talaka hii na itakuwa talaka yake ya tatu baada ya kuachana na Damon Thomas na mcheza kikapu Kris Humphries.

Kim K amekaa mbali na Kanye West kwa muda sasa toka aruhusiwe kutoka hospitalini baada ya kupata matatizo ya akili na msongo wa mawazo.
********
Tags
HABARI ZA WASANII