Unknown Unknown Author
Title: SHILOLE KUMBE BADO MMBICHI KABISA AWEKA WAZI MAMBO USIYOYAJUA (+VIDEO)
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Msanii wa muziki wa bongo fleva Shilole amefunguka na kusema kuwa mafanikio yake aliyopata kwenye muziki kama angeendelea kufanya filamu a...
Msanii wa muziki wa bongo fleva Shilole amefunguka na kusema kuwa mafanikio yake aliyopata kwenye muziki kama angeendelea kufanya filamu anaamini asingeweza kuyapata kabisa.
Shilole na Boycaro

Shilole akiwa na Boyfrind wake Boycaro
Shilole anasema anashukuru Mungu aliweza kumshtua mapema ili akimbie kwenye filamu na kukimbilia kwenye muziki kwani huku kwenye muziki ndiko pesa zake zilikuwepo ambazo ndani ya muda mfupi amezipata na kufanya mambo makubwa katika maisha yake.

"Namshukuru Mungu nimefikisha miaka 28 najivunia mafanikio yangu katika umri huu nilionao, nashukuru kweli kwani tayari nina bonge la mjengo na miaka yangu 28, nina watoto wawili, na biashara zingine za hapa na pale ikiwepo biashara ya chakula"
alizungumza Shilole.

MCHEKI HAPA KWENYE VIDEO CHINI.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top