SHILOLE A.K.A SHISHI BABY AME-BREAK-INSTAGRAM KWA VIDEO YA FARAGHA

 Shilole
Baada ya wiki jana kuingia kwenye Headline ya Kuanzisha Biashara mpya ya Chakula ambayo ameipa jina "SHISHI FOOD DELIVER" Msanii wa Bongo fleva Shilole a.k.a Shishi baby ameingia kwenye Headlines kwa mara nyingine baada ya Video yake ya faragha kusambaa mtandaoni ikimuonesha akibusiana live bila Chenga na Mwanaume ambaye hatukuweza kufahamika jina lake.
 Shilole akidendeka
 Katika video hiyo Shilole anasikika akisema "I need you so Much" na bila hiana Mwanaume huyo akajibu "Come" na kumpatia bonge la Busu matata kwa wajuaji wa mambo wanaitaga "French Kiss"

Sitaki nikumalizie Uhondo we fanya Kubofya Picha hii chini kuicheki Video hiyo Live Bila ya Chenga.
 watch

*************

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post