Unknown Unknown Author
Title: MTANDAO WA WHATSAPP WAJA NA BORESHO HILI KATIKA TOLEO LAO JIPYA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Katika toleo la Beta la simu za iOS , Mtandao wa Whatsapp wafanya boresho la Kumuwezesha mtumiaji kuwa na uwezo wa Kufuta ujumbe uliokw...
Whatsapp
Katika toleo la Beta la simu za iOS, Mtandao wa Whatsapp wafanya boresho la Kumuwezesha mtumiaji kuwa na uwezo wa Kufuta ujumbe uliokwisha tumwa kwa Mtu mwingine.

Uwezo huo unaonekana katika eneo la "settings". Kikubwa ni kwamba utaweza kufanya hivyo kama tuu mtumiaji mwingine bado hajausoma ujumbe huo. Kama ukishasomwa basi hautaweza ufuta tena.

Jinsi inavyofanya kazi

Ukishatuma ujumbe basi utaweza kubofya na kuendelea kushikilia kwenye ujumbe huo ulioutuma na utapata mapendekezo mawili. ‘Edit’ yaana fanya maboresho au ufute "revoke". kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu.

Hadi sasa WhatsApp wenyewe hawajatoa taarifa rasmi juu ya lini uwezo huo utakuja kwa watumiaji wote wa WhatsApp. Kikubwa ni kwamba ni kitu ambacho tukitegemee kuja katika toleo lolote jipya kwa sasa.
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++

++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
KUWA KARIBU NASI LINDIYETU.COM
Usipitwe!! Ungana na Familia hii kupitia FacebookTwitter na Instagram ili kupata Infortainment zote!! Usikose kujiunga na Youtube channel yetu ili kupata Exclusive mbalimbali kali kutoka LindiYetu TV

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top