MADEE AAMUA KUVUNJA UKIMYA JUU YA KOLABO YAKE NA TEKNO (AUDIO)

Hitmaker wa ngoma ya "Migulu pande", "Vuvula" na "Pombe Yangu" namzungumzia Madee kutoka kundi la TipTop Connection ameamua kufunguka juu ya kolabo yake na Tekno ambayo aliahidi kuitoa muda mrefu.
Madee And Tekno
Akiongea na Lindiyetu.com, Madee aliamua kuweka wazi kuhusu mambo ambayo yamefanya kuchelewa kwa kolabo hiyo, Madee amefunguka na kusema kwamba jambo kubwa ambalo lilikwamisha ngoma hiyo ni video, kwamba wakati Tekno alikuwa anahitajika kwenye kushoot video ya wimbo huo alikuwa yuko mbali na Afrika kwenye tour zake lakini ngoma tayari imeshakamilika.

Sitaki nikuchoshe Msikilize hapa Akifunguka Lini ataachia kolabo hiyo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post