U HEARD: NAY WA MITEGO NA KASHFA YA KUMBAKA MSANII MWENZAKE

Nay wa Mitego na Nisha
Stori zilianza wiki iliyopita ambapo Nisha msanii wa Bongo Movie aliandika kuwa ana mimba ya mwanaume ambaye waliachana muda mrefu na baadaye alirudi na kumbaka.

Wakati huo hakumtaja jina lake ila akasema ni msanii, kwa mujibu wa taarifa za Soudy Brown mhusika wa mimba hiyo ni Nay wa Mitego. Soudy Brown amepiga stori na Nay wa Mitego.

Bonyeza play hapa chini kusikiliza full Stori:

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post