"PALE KATI" YAKOLEZA BIFU LA Mr.T TOUCH NA NAY WA MITEGO

Headlines za leo November 29 2016 Bongoflevani zinachukuliwa na wakali wawili Producer MrTee Touch ambaye anahusika kutengeza midundo ya Rapper Nay wa Mitego wameingia kwenye bifu, ripoti kutoka kwenye Uhead ya Clouds zinadai kuwa wakali hao wanagombea baadhi ya beat ikiwemo beat ya mdundo wa "Pale Kati"
Nay wa Mitego na Mr.T Touch
‘Kitu nilichoongea mimi ni kuwa anatumia beat zangu bila kuniambia kwa mfano beat ya Pale Kati ni haki yangu niliandaa mwenyewe yeye akaja akaichukua akaitoa bila kuniambia, kuanzia sasa hivi Nay wa Mitego haruhusiwi kutumia beat zangu’ Amesema Mr Tee Touch

Je unataka kujua jibu la Nay wa Mitego? Bofya Play hapo Chini.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post