Unknown Unknown Author
Title: VIDEO: DIAMOND PLATNUMZ SIO MTU WA MCHEZO MCHEZO CHEKI ALICHOKIPANGA KUFANYA LEO KWENYE TUZO ZA MTV MAMA 2016
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Diamond Platnumz ameamua kushare ujumbe kwa mashabiki zake kwamba kitu ambacho anaenda kukifanya leo sio cha mchezomchezo. Leo ndio Leo ...
Diamond Platnumz ameamua kushare ujumbe kwa mashabiki zake kwamba kitu ambacho anaenda kukifanya leo sio cha mchezomchezo.
Diamond Platnumz
Leo ndio Leo zile tuzo za MTV Mama 2016 zinazoandaliwa na kituo cha MTV Base Africa zinatarajiwa kutolewa leo Jumamosi tarehe 22 huko Afrika ya kusini Johannesburg, ndani ya tuzo hizo Afrika ya Mashariki tumeingiza wasanii wengi ambao tunatumaini kuwa lazima tutarudi na tuzo nyumbani.

Sasa Good Newz ni kwamba Diamond ameahidi kufanya maajabu makubwa ambayo yatawadhihilishia Ulimwengu kuwa Afrika Mashariki kuna zaidi ya wasanii, ujumbe huo ameuandika katika kurasa yake ya Instagram, ni vitu gani hivyo ambayo Diamond amepanga kudhihilisha? hakuna anayejua.. macho yote yatakuwa Johannesburg kushuhudia wasanii wetu wa Bongo na Afrika mashariki kwa ujumla.

“Tafadhali sana ndugu zangu naomba kesho msikose kutazama tunzo za MTVMAMA…. kijana wenu nimepanga kuwadhihilishia Ulimwengu Kuwa Africa Mashariki kuna zaidi ya Wasanii”.

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top