U-HEARD -: SHILOLE KURUDIANA NA NUH MZIWANDA KIMYA KIMYA

Katika Couple za mastaa ambazo zimekiki kinoma noma kibongo bongo ni pamoja na ile ya mwanadada Shilole na Nuh Mziwanda.
Shilole na Nuh Mziwanda.
Lakini miezi kadhaa iliyopita ziliripotiwa taarifa za kuvunjika kwa mahusiano ya wawili hao. Lakini kama wasemavyo wahenga “Hawara hapewi talaka”, ndivyo inavyosemekana kwa wawili hao kuwa wana mipango ya kurudiana kimya kimya.

Ni kwa mujibu wa Mwakilishi wa Shirika la Wambea Duniani (SHILAWADU) Gossip Cop Soudy Brown ambaye anadai kuwa amezinyaka chatings za wawili hao zikiashiria kabisa kuwa wawili hao wanapanga kurudi katika mahusiano.

Sasa sitaki kukuchosha, ubuyu wote nimekuwekea hapa chini kwenye hii video unaweza kuitazama.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post