U-HEARD -: PENZI LA MADEE LAPAGAWISHA VIMWANA! WAENDEANA KWA SANGOMA ILI KUNYOOSHANA!

Taarifa za kunyapia nyapia zinasema eti Madee sio mtu wa mchezo mchezo. Ni baada ya kusemekana amempagawisha shemela wetu Neema hadi kufikia hatua ya kuwaendea kwa wataalam wale woote anaowahisia kuchepuka na kaka etu Madee.
Madee
Unajua umbea nao kipaji eeeh!? Sasa ngoja nikupe nafasi ya kumsikiliza mwenye kipaji chake alichobarikiwa na Mungu Baba Gossip Cop Soudy Brown akudadavulie vizuri ubuyu huo maana sisi wengine tuna-force tu.

Play hii video hapa chini kumsikiliza Soudy Brown alivyopiga story na Madee kuhusu issue hiyo.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post