Unknown Unknown Author
Title: MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU ATOLEA UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA YA KUTENGULIWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA
Author: Unknown
Rating 5 of 5 Des:
Kufuatia kuenea kwa nyaraka inayoonesha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Ndg Mrisho Gambo ametenguliwa na Rais katika nafasi yake hiyo ya u...
Mrisho Gambo na Rais Magufuli
Kufuatia kuenea kwa nyaraka inayoonesha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Ndg Mrisho Gambo ametenguliwa na Rais katika nafasi yake hiyo ya ukuu wa mkoa.

Gerson Msigwa Mkurugenze wa Mawasiliano ya Rais ameitolea maelezo kuwa taarifa hiyo siyo ya kweli na amewataka watanzania waipuuze, kwani imetengenezwa na watu wenye nia ovu.
*****************

About Author

Advertisement

Post a Comment Blogger

Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii

Note: Only a member of this blog may post a comment.

 
Top