MKURUGENZI WA MAWASILIANO IKULU ATOLEA UFAFANUZI KUHUSU TAARIFA YA KUTENGULIWA MKUU WA MKOA WA ARUSHA

Mrisho Gambo na Rais Magufuli
Kufuatia kuenea kwa nyaraka inayoonesha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Ndg Mrisho Gambo ametenguliwa na Rais katika nafasi yake hiyo ya ukuu wa mkoa.

Gerson Msigwa Mkurugenze wa Mawasiliano ya Rais ameitolea maelezo kuwa taarifa hiyo siyo ya kweli na amewataka watanzania waipuuze, kwani imetengenezwa na watu wenye nia ovu.
*****************

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post