KESI YA MTOBOA MACHO (SCORPION) YAHAMISHIWA MAHAKAMA KUU

Kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu kama Scorpion, imeondolewa katika mahakama ya wilaya ya Ilala na kuhamishiwa mahakama kuu jijini Dar es salaam.
Scorpion
Hatua hiyo imekuja kutokana na kuwasilishwa ombi katika mahakama hiyo na wakala wa upande wa mashtaka Munde Kalombora na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Adelf Sachore kuridhia.

Njwele anakabiliwa na shtaka la unyanga’nyi na kumjeruhi Said Ally Mrisho baadhi ya sehemu zake za mwili huku akimsababishia kijana huyo upofu.

BY: EMMY MWAIPOPO

*************

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post