SAMATTA NA ULIMWENGU WATOAPONGEZI KWA SERENGETI BOYS BAADA YA USHINDI WA JANA DHIDI YA CONGO

Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu
Baada ya timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys kuifunga Congo Brazzaville katika hatua ya tatu kuwania kufuzu michuano ya Afrika, wachezaji nyota wa Tanzania wanaocheza soka la kulipwa nje wameipongeza timu hiyo.
Serengeti Boys
Wachezaji hao, Mbwana Samatta wa Genk ya Ubelgiji na Thomas Ulimwengu wa TP Mazembe ambao wote waliwahi kucheza pamoja kwenye timu ya TP Mazembe, wameandika kwenye Twitter:
post

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post