

Ali Kiba alikuwa ni miongoni mwa wasanii wa kimataifa kutoka Afrika Mashariki aliyependekezwa kufanya show kwenye majukwaa makubwa Duniani.
Ali Kiba ameongoza kwa asilimia 45 juu ya wasanii kama Eddy Kenzo, Sauti Sol, Bebe Cool na bila Kumuacha Diamond platnumz ambaye alizidiwa asilimia tatu tu kwa mujibu wa kura zilizopigwa.

Show Hii itafanyika 22, October, 2016. jijini Johannesburg Afrika Kusini.
_______________________________________
TAZAMA HAPA SHOW YA USIKU WA VIGOMA JIJINI TANGA, WEMA SEPETU AKIKATA MAUNO.
TAZAMA HAPA SHOW YA USIKU WA VIGOMA JIJINI TANGA, WEMA SEPETU AKIKATA MAUNO.
Tags
HABARI ZA WASANII