ALIKIBA KUFANYA SHOW USIKU WA TUZO ZA MTV AFRICA MUSIC AWARDS 2016 ‘MAMA’S’

Ali Kiba
Meneja wa RockStar 4000 Seven Mosha amethibitisha kuwa msanii wao The KingAli Kiba atafanya show kwenye usiku a Tuzo za MAMA 'MTVAfrica Music Awards 2016'.
Ali Kiba
Ali Kiba alikuwa ni miongoni mwa wasanii wa kimataifa kutoka Afrika Mashariki aliyependekezwa kufanya show kwenye majukwaa makubwa Duniani.

Ali Kiba ameongoza kwa asilimia 45 juu ya wasanii kama Eddy Kenzo, Sauti Sol, Bebe Cool na bila Kumuacha Diamond platnumz ambaye alizidiwa asilimia tatu tu kwa mujibu wa kura zilizopigwa.

post
Show Hii itafanyika 22, October, 2016. jijini Johannesburg Afrika Kusini.
_______________________________________
TAZAMA HAPA SHOW YA USIKU WA VIGOMA JIJINI TANGA, WEMA SEPETU AKIKATA MAUNO.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post