Wachezaji wa Abajalo Fc wakitoka katika Chumba cha kupumzikia ndani ya Uwanja wa Ilulu. (Kariakoo Fc 1 – Abajaro 0).
Na: Fungwa K, Lindi
Timu ya Karikoo Fc ya mjini lindi leo imeshuka dimbani kumenyana na timu ya Abajalo Fc ya mjin Dar es salaam.
Kipute hicho kilipigwa katika dimba la ILULU ikiwa uwanja huo ukiwa na historia ya kutoiruhusu timu ngeni kuondoka na ushindi.
Mpira ulianza kwa kasi kwa timu zote kushambuliana kwa kasi, kadri muda ulivyokuwa ukisogea Abajalo Fc walionekana kuutawala mchezo huo kwa kuweza kufika langon mwa Kariakoo Fc mara nyingi lakin ngome ya Kariakoo FC ilikuwa imara, hada mapumziko timu zilitoka suluhu.
Kipindi cha pili kilianza kwa timu ya kariakoo kuliandama lango la Abajalo na kuweza kupata penalt, kaptain wa kariakoo alishindwa kuiwezesha timu yake kuongoza kwan alipiga penalt hiyo na mpira kwenda nje.
Ni muksin ndiye alie wainua mashabiki mara baada ya kufunga goli maridadi kwa kupokea mpira wa cross uliopigwa na salum abdalah naye kupiga kichwa maridadi na kutinga wavuni.
Hadi mwisho wa mchezo matokeo yalibakia
Mashabiki walifurika Ndani ya Uwanja wa Ilulu Kushuhudia mtanange kati ya Kariakoo Fc na Abajalo Fc kutoka Sinza Dar es Salaam. ( Kariakoo Fc 1 – 0 Abajalo Fc)
Wachezaji wa Akiba wa Timu wa Abajalo wakifuatilia kwa makini Mechi hiyo iliyokwenda kwa timu hiyo kufungwa goli moja bila.
Kipute hicho kilipigwa katika dimba la ILULU ikiwa uwanja huo ukiwa na historia ya kutoiruhusu timu ngeni kuondoka na ushindi.
Mpira ulianza kwa kasi kwa timu zote kushambuliana kwa kasi, kadri muda ulivyokuwa ukisogea Abajalo Fc walionekana kuutawala mchezo huo kwa kuweza kufika langon mwa Kariakoo Fc mara nyingi lakin ngome ya Kariakoo FC ilikuwa imara, hada mapumziko timu zilitoka suluhu.
Kipindi cha pili kilianza kwa timu ya kariakoo kuliandama lango la Abajalo na kuweza kupata penalt, kaptain wa kariakoo alishindwa kuiwezesha timu yake kuongoza kwan alipiga penalt hiyo na mpira kwenda nje.
Ni muksin ndiye alie wainua mashabiki mara baada ya kufunga goli maridadi kwa kupokea mpira wa cross uliopigwa na salum abdalah naye kupiga kichwa maridadi na kutinga wavuni.
Hadi mwisho wa mchezo matokeo yalibakia
Tags
SPORTS NEWS