WEMA SEPETU AWAUMBUA WANAOCHOCHEA BEEF KATI YAKE NA PETIT MAN. AWAJIBU KWA STYLE HII HAPA

Wema Sepetu na Petit Man
Hapo nyuma kidogo kulikuwa na ukimya kati ya Wema Sepetu na Petit Man na mashabiki wakaanza kuvamia social network na kuandika vitu vingi wanavyovijua wao na wengine kuliita BEEF kati ya Wema na Petit. 
Lakini usiku wa tarehe 16 Aug wawili hawa walionekana wakijirekodi video fupi na Wema akaiweka katika account yake ya SnapChat
Baadae kulivyokucha Wema alionekana kupost video clip ile ile ya SnapChat kwenye Instagram yake na kuandika hivi
“Yes…! He has a piece of me… @officialpetitman_wakuachetz”
Instagram ya Wema Sepetu

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post