VIDEO:: YANGA YASHINDWA KUTAMBA MBELE YA MO BEJAIA, YACHAPWA GOLI 1 - 0

Yanga SC
Wawakilishi pekee nchini katika Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) Yanga SC wameshindwa kutamba mbeli ya wenyeji wao MO Bejaia na Kukubali kipigo cha mapema zaidi Mnamo dakika ya 20 ya Mchezo. Hadi kipindi cha kwanza kinamalizika matokeo yalibaki 1-0.
Yanga SC
Kipindi cha Pili kilianza kwa Yanga kuendelea kutawala mchezo huo lakini hawakuweza kufanikiwa kupata Goli lolote hadi kipenga cha mwisho wa mchezo huo.

Yanga sasa wanashika nafasi ya tatu katika msimamo wa kundi hilo, huku wakiwa hawana goli wala point moja. Mechi inayofuata itachezwa jijini Dar es salaam kwa Yanga kuwakaribisha Tp Mazembe ambayo inaongoza katika Kundi hilo kwa kuwa na jumla ya point 3.
Yanga SC
UNAWEZA TAZAMA GOLI WALILOFUNGWA YANGA HAPA.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post