Yanga sasa wanashika nafasi ya tatu katika msimamo wa kundi hilo, huku wakiwa hawana goli wala point moja. Mechi inayofuata itachezwa jijini Dar es salaam kwa Yanga kuwakaribisha Tp Mazembe ambayo inaongoza katika Kundi hilo kwa kuwa na jumla ya point 3.
UNAWEZA TAZAMA GOLI WALILOFUNGWA YANGA HAPA.
Post a Comment Blogger Facebook
Toa Maoni Yako Kuhusu habari Hii
Note: Only a member of this blog may post a comment.