
Siku za hivi karibuni tuliweza kuona House girl akiweza kumwadhibu mtoto tukadhani hiyo ilitokana na kutokuwa na Uchungu wa Mtoto huyo lakini imegundulika hali ni tofauti kabisa hii ni ishara kuwa akina mama siku hizi wamekosa Roho ya Huruma kabisa.
Hebu tazama Video hii hapa Chini inasikitisha kwa Kweli.
Tags
HABARI ZA KITAIFA