Diamond Platnumz ni mmoja kati ya mastar wakubwa wanaojulikana Afrika wakitokea hapa hapa kwetu Bongo.
Ukiacha mziki ambao umemfungulia milango na kumpa mkwanja alionao, Diamond Platnumz anafahamika kwa kula mademu wengi (mahusiano ya Kimapenzi) tu hapa Bongo huku asilimia kubwa wakiwa ni maarufu.
Lakini wanasema kila mjanja ana mjanja wake, Je wajua kua Diamond alishawahi kutaka kujiua kisa katoswa na demu???

Lakini wanasema kila mjanja ana mjanja wake, Je wajua kua Diamond alishawahi kutaka kujiua kisa katoswa na demu???
Basi jibu ni ndio na Diamond kafunguka kupitia video hii hapa chini, mskilize.
Tags
HABARI ZA WASANII