MENEJA WA DIAMOND, SALLAM AZUNGUMZIA KUMCHUKUA RICH MAVOKO KUSIGN WCB (+AUDIO)

Meneja wa Diamond Platnumz, Sallam Sharraf amezungumzia majukumu yake kwenye label ya WCB.
Sallam Sharraf
Akiongea na mtangazaji Divine Kweka kwenye kipindi cha The Premier cha Kings FM ya Njombe, Sallam alisema yeye ni meneja wa Diamond upande wa kimataifa na pia ni miongoni mwa wakurugenzi wanne wa bodi ya WCB.

Aliwataja wengine kuwa ni Diamond, Babutale na Said Fella. Pia kwenye mahojiano hayo Sallam alizungumzia iwapo ni kweli WCB tayari wamemchukua Rich Mavoko.

Sikiliza mahojiano hapo chini.


Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post