EMILIA CLARKE ANATAKA KUWA JAMES BOND WA KWANZA WA KIKE NA KUPEWA JINA LA JANE BOND.

Baada ya kuigiza vizuri kwenye show ya Game Of Thrones staa Emilia Clarke amejitolea kuigiza kama James Bond wa kwanza wa kike duniani.
Emilia Clarke
Emilia anasema hii ni ndoto yake kuwa James Bond wa kwanza wa kike na ataitwa Jane Bond.

Emilia Clarke, 29, anataka kuigiza kwenye filamu za 007 James Bond na kwamba badala ya kuwa na Bond Girls, pawe na Bond Boys na awe ni Leonardo DiCaprio.

Staa mwingine wa kike anayetaka nafasi hio ni staa wa The X-Files Gillian Anderson.

Post a Comment

Hii ni Blog kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Nchi yetu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...

Previous Post Next Post